Pascal Yohana Haonga

Pascal Yohana Haonga (amezaliwa 8 Agosti 1981) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mbozi kwa miaka 20152020. [1]

Haonga ni kabila la kinyia ambalo hutokea Mbozi mkoa wa songwe.

Marejeo

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya